iqna

IQNA

Mokhtar Ould Abah
Taazia
TEHRAN (IQNA) – Mwanazuoni wa ngazi za juu Mauritania ambaye amenadika tarjuma ya Qur’ani Tukufu Mohamed Mokhtar Ould Abah amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 99.
Habari ID: 3476454    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/24